Friday, 2 March 2012

Buriani kaka Seph Yusuph seph

Tarehe 9/02/2012  familai yetu tumeondokewa na
jembe letu muhimu sana kaka SEPH MDOE.

ki ukweli ni siku ngumu sana kwa kila mmoja wetu
 Kila utakazungumza naye ana kumbukumbu zake binafsi juu ya kifo cha kaka yangu huyu

kaka seph ni mtu mvumilivu sana
 muelewa
moja kati ya vijana ambao hawana makuu mbele ya vijana wenzake
 kaka mfano wako kuupata ni vigumu sana

















watu waliofika kwa ajili ya msiba wa kaka  yangu







 watu waliofika kujakumuaga kaka seph
wakiangalia gali lililobeba mwili wa kaka
likiondoka.






hili ndilo gari lililobeba mwili wa kaka seph mdoe












kwa heri kaka yangu mungu ailaze roho yako mahala pema peponi .
amin
ila kama una uwezo wa kutusikia

TULIKUPENDA  SANA

TUNAKUPENDA SANA

       NA
TUTAKUPENDA DAMA

KAKA MPENDWA.

No comments:

Post a Comment