Saturday, 18 February 2012

EMMANUEL MYAMBA AZINDUA RASMI CHUO CHAKE CHA FILAMU(TANZANIA FILM TRAINING CENTER,,TFTC)



Meza kuu,kutoka kushoto ni Baucha,Myamba,mwakilishi wa katibu mkuu Basata,na Makubi ambaye ni mratibu wa chuo hicho.
Ukisomwa ujumbe maalum wa mgeni rasmi toka Basata.
Kanumba  kama mmoja wa walezi na mshauri wa chuo hicho alipewa nafasi ya kusema machache kwa wanafunzi na tasnia kwa ujumla.
Wanafunzi wakiwa na uniform zao safi kabisa lakini pia humu ndio darasa lao,wanasoma katika air condition,
Bosi wa chuo Pastor Myamba akikabithiwa kibali toka Basata kama ishara ya kwamba anatambulika rasmi na mamlaka husika serikalini.
Wosia toka Basata...msipende kukatishana tamaa na kuharibiana,Basata ipo kwa ajili yenu na ndio walezi na washauri wakuu wenu.
Cheti cha usajili..
hongera sana  pastor myamba kwani huu ndio mwanzo wa maendeleo kwa tasnia yetu. 
 ushauri wangu kwako   jambo uliloanza si jepesi hata kidogo  usikatishwe tamaa na mtu yeyote kaza buti songa mbele baba. 

No comments:

Post a Comment