Friday, 17 February 2012

this is my pretty girl (sabrina )

Ki ukweli ninayo furaha kubwa sana   kwa mwanagu kutimiza 
siku arobainai  .
 ni siku ambayo niliingoja sana katika maisha yangu 
japo nimepata bahati mbaya ya kuondokewa na kaka yangu kipenzi 
SEPH MDOE . bado moyo wangu unafarijika kwa hili 
 R.I.P  my brother najua ya kuwa wewe ni moja kati ya waja bora
 mbele ya  mungu kwani ulijitahidi kufanya ibada kwa karibia 
 maisha yako yote, mungu atakulaza mahala pema peponi 
 
 you know 
 
I LOVE U SO MUCH 

  ila usijali kaka mimi naamini ntakuwakilisha katika kila jambo ulilo jaribu kulifanya mimi nitakuwepo kulimalizia 
 
 INSHAALLAH 

 umeondoka lakini  amekuja 


SABRINA 
 
 unamjua SABRINA 

 kama una nafasi ya kumuombea aje awe moja ya watu wakubwa kwenye 
 dini yetu INSHAALLAH 
nampenda sana 

SABRINA 




 

No comments:

Post a Comment