Ninayo furaha kubwa sana mimi Jabiri Yusuph mdoe
nikishirikiana na kampuni ya TRUE IMAGE ENT.
tunakuletea muendelezo wa filamu ya DARKNESS NIGHT II
hii ni filamu inayokuja kufanya mapinduzi ya tasnia ya filamu ndani ya nchi yetu na Africa kwa ujumla.
lemngo la kutengeneza filamu hii ni kwa ajili ya kumalizia namba 1 ya filamu hii ambayo ilitoka kama miaka mitatu iliyopita
kuna mtiririko wa filamu nyingi kama
kajala amabayo hii ndio itakayofuatia.
Tuesday, 18 January 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
hii imekaa poa sana.
ReplyDelete